Episode 88 | Kweli ya Leo Sio ya Jana
Wanangu podcast by Goodluck Joseph
Episode notes
Katika episode hii, host anachambua dhana ya “kila zama na kitabu chake” na jinsi uhalisia unavyoundwa na nyakati tunazoishi. Aidha, anaeleza kuwa licha ya kila mtu kuwa na mtazamo wake binafsi, mitazamo ya pamoja huwa na nguvu kubwa katika namna tunavyoitazama na kuielewa dunia. Karibu!