Episode 46 | Ni nini hatma ya taasisi za elimu?
Wanangu podcast by Goodluck Joseph
Episode notes
Kufuatia kuibuka na kuenea kwa akili mnemba (AI), ni matarajio kwamba watu watajifikirisha jinsi uvumbuzi huu wa kiteknolojia utavyobadilisha maisha yetu. Je, taasisi za elimu zitabaki salama katika madadiliko haya?