Mungu Bado Anaandika Sura za Hadithi ya Maisha Yako
Neno la Leo di Neno la Leo 255
Note sull'episodio
ποΈ Leo kwenye Neno la Leo
Leo tunaendelea na wimbo wa Hana kupitia 1 Samweli 2:6β8. Hana anaposema kwamba Bwana hushusha na kuinua, hufukarisha na kutajirisha, hazungumzi kuhusu Mungu ambaye amesikia habari zake tu. Anazungumza kuhusu Mungu ambaye amemwona akibadilisha maisha yake mwenyewe. Mwanamke aliyekuwa akilia kila mwaka huko Shilo sasa amekuwa ushuhuda kwamba hali ya leo si lazima iwe mwisho wa hadithi yetu. Kupitia simulizi yake tunajifunza kutohukumu kesho yetu kwa changamoto tunazoziona leo kwa sababu Mungu bado anaweza kuinua, kurejesha na kufungua sura mpya ambayo hatukuiona ikija. Je, kuna eneo la maisha yako ambalo umeshaamua haliwezi kubadilika? Usiweke nukta mahali ambapo Mungu bado anaandika.
Karibu tusikilize, tutafakari na kujifunza pamoja.Β ...Β