Episode 86 | Hatua ya Mwisho: Mwa...
Episode 86 | Hatua ya Mwisho: Mwamwindi Vs. Dr. Kleruu

Wanangu podcast di Goodluck Joseph

Note sull'episodio

Katika episode hii, tunachambua tukio la kihistoria la mwaka 1971 ambapo mkulima Saidi Abdallah Mwamwindi alimpiga risasi na kumuua Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Wilbert Kleruu, katika kijiji cha Ismani. Tukio hilo lilihusishwa na mvutano uliotokana na sera za ujamaa na utaifishaji wa mashamba, na baadaye ikawa kesi kubwa ya kisheria na kisiasa nchini Tanzania. Tunaangazia kwa undani kilichotokea siku ya tukio na sababu zilizochangia kufikia hatua hiyo. Karibu usikilize/utazame.