Nini Cha Kufanya Wakati Mungu Ana...
IA
Nini Cha Kufanya Wakati Mungu Anafanyia Kazi Maombi Yetu?
IA

Neno la Leo di Neno la Leo 255

Note sull'episodio

πŸŽ™οΈ Leo kwenye Neno la Leo

Leo tunaanza simulizi ya Samsoni kutoka Waamuzi 13:3–5. Kabla hajazaliwa, Mungu alikuwa tayari amemchagua na kumwekea kusudi. Kupitia simulizi hii tunajifunza kwamba Mungu anaweza kuleta mwanzo mpya pale ambapo wanadamu wanaona hakuna tumaini, na kwamba kila maisha yana kusudi mbele zake. Je, unaamini kwamba Mungu bado anafanya kazi katika maisha yako hata kama bado hujaona majibu?

Karibu tusikilize, tutafakari na kujifunza pamoja. πŸ™πŸ“–βœ¨