Episode 84 | Kwa Nini Mataifa Yanakimbilia Tena Mwezini?
Wanangu podcast por Goodluck Joseph
Notas del episodio
Kwa nini mataifa yanarudi tena kushindania kwenda Mwezini baada ya zaidi ya miaka 50? Episode hii inaangazia kurudi kwa mbio za anga (Space race) kwa kuanzia na historia ya ushindani wa Vita Baridi kati ya Marekani na Urusi uliyosababisha mafanikio makubwa kama uzinduzi wa setelaiti ya kwanza mwaka 1957 na kutua kwa binadamu Mwezini mwaka 1969 hadi mbio hizi mpya ambapo mataifa kama China, India, na Marekani yanawekeza tena katika safari za kwenda Mwezini. Kuna faida gani?